Baraza
la mji wa Mandeera wamethibitisha kuwa viongozi wa utawala wa mji huo
nyakati za jioni huenda kujificha kwenye baadhi ya vijiji vilio nje ya
mji wa Mandera kutokana na khofu ya mashambulio kutoka kwa Mujahidina wa
Al-Shabab.
Mmoja
wa viongozi wa Baraza la mji wa Mandera ameliambia Idhaa ya Kisomali ya
BBC kuwa kutokana na hali mbaya ya usalama uliopo mkoa wa Kaskazini
Mashariki mwa Kenya imesababisha viongozi wa mji wa Mandera kuhama
kutoka katika majumba yao na kwenda mafichoni.
http://qaadisiya.net/maqal/wareysi%20mandheera.mp3
Post a Comment