Shirika
la Fox News linalowanukuu baadhi ya maofisa wa Kimarekani imetangaza
kuwa taarifa walioipata majasusi wa Marekani imesababisha kufungwa kwa
kazi zote za Kidiplomasia iliyokuwa ikifanywa na Ubalozi huo wa USA.
Wafanyakazi
wote wa Ubalozi huo waliopo katika miji ya Jidah na Riyadh wameamrishwa
kutofanya pilika wowote na kuwa makini na mashambulio yanayotarajiwa
kutoka kwa wapiganaji wa Kiislaam.
Post a Comment