Habari kutoka katika mkoa wa Kaskazini Mashariki mwa Ardhi ya Somalia
zinaeleza kuwa shambulio kubwa imelengwa dhidi ya wanamgambo wa Utawala
unaopambana na Uislaam uliojiita wa Puntland.
Wapiganaji
wanaoiunga mkono Harakat Al-Shabab Al Mujahideen wamefanya shambulio la
kuvizia msafara wa Magari wa kijeshi waliokuwemo wanamgambo wa utawala
wa Puntland nje kidogo na mji wa Bosaso.
Duru
zinaeleza kuwa makabiliano makali yaliosababisha hasara kati ya
wanamgambo wa utawala wa "Punland" na Mujahidina wa Al-Shabab
yamefanyika katika kijiji cha Balli Khadar,vishindo vya milipuko na
milio ya silaha nzito na rashasha yalisikika nje ya mji wa Bosaso.
Mpaka
sasa hakuna taarifa rasmi kuhusiana na hasara yaliosababishwa na
mashambulio hayo yaliofanyika mkoa wa Kaskazini Mashariki mwa Ardhi ya
Somalia,katika miezi ya hivi karibuni vikosi vya Mujahidina walifanya
mashambulio makubwa ndani na nje ya mji wa Bosaso makao makuu ya Mkoa wa
Kaskazini Mashariki.
Post a Comment