0



Katika mapambano makali yaliofanyika hivi karibuni katika mji wa Idlib nchini Syria ameuawa Mujahid kijana mwenye asili ya kisomali aliyekuwa akipigana kwa muda wa miaka kadhaa katika Ardhi ys Shaam.



Habari kutoka nchini Syria zinaeleza kuwa Abuu Khalid As-Somaal hatimae amepata kile alichokuwa akitafuta kwa muda mrefu ambayo ilikuwa kupata Shahada,Shahidi huyo alikuwa miongoni mwa vijana wengi wa kiislaam waliondoka kutoka nchi ya Uingereza na aliuawa kwenye mapambano ya Kimalhama iliyopelekea Mujahidina wa Jabhat Al Nusrah na wapiganaji wa makundi ya upinzani kufanikiwa kuukomboa mji wa Idlib.




Watu wanaoripoti Jihadi inayoendelea katika Ardhi ya Shaam walithibitisha Istish-hadi ya Abuu Khalid As-Somaal kupitia kwenye mitandao ya kijamii na kumtaja kuwa Abuu Khalid alikuwa na Tabia na Akhlaq njema pamoja na ushujaa zaidi.



Abuu Khalid alihudhuria mapigano kadhaa ambayo Mujahidina wa Syria walipambana na wanajeshi wa nidhamu ya kibaraka ya Bashar Al Asad na alikuwa miongoni mwa kundi la Jabhat Al Nusrah iliyo chini ya Kundi la Al Qaida.



Makumi ya vijana wenye asili ya kisomali walioondoka kutoka katika mataifa ya Magharibi wameingia nchi za Iraq na Syria,mwaka uliopita miongoni mwa vijana hao 30 wameruzukiwa kupata Shahada ili hali wengine wakiwa katika viwanja vya mapambano wakiwa bega kwa bega na Dola ya Kiislaam na Jabhat Al Nusrah

Post a Comment

 
Top