Habari kutoka mjini Kismaayo iliyo katika mkoa wa Lower Jubba kusini mwa Somalia zinaeleza kuwa kikosi maalum cha Harakat Al-Shabab Al Mujahideen wamefanya opresheni maalum ndani ya mji huo.
Duru
zilieleza kuwa Mujahidina walivamia nyumba mmoja iliyoko katika mtaa wa
Gul Wade mjini Kismaayo ambapo ni makao ya Maofisa wa kitengo cha
ujasusi wanaojulikana PS.
Milio
ya risasi na silaha nzito waliokuwa wakirushiana yalisikika katika mtaa
wa Gul Wade,vyanzo vya kuaminika viliarifu kuwa mujahidina walifanikiwa
kumwua Afisa mwenye cheo cha juu katika utawala wa Ahmed Madobe lkini
hakuna taarifa rasmi kutoka kwa Harakat Al-Shabab Al Mujahideen
kuhusiana na shambulio hilo.
Upande
mwingine wanajeshi wavamizi wa Msalaba kutoka Kenya walioko katika
Kijiji cha Bula Kuduud iliyo nje ya mji wa Kismaayo wanakutana na hali
mbaya,Mwandishi Abdil wahab Bukhari aliyoko mkoa wa Jubba anaarifu kuwa
shambulio la kuvizia iliyofanywa na Mujahidina imesababisha kuingia
kwenye hali ya kizuizi kwa wanajeshi hao wavamizi.
Post a Comment