0



Habari kutoka mkoani Lower Shabelle zinaeleza kuwa kumefanyika makabiliano makali kwenye eneo waliokuwepo wanamgambo wanaoiunga mkono Serikali ya FG.



Usiku wa kuamkia 30,03,2015 vikosi vya Harakat Al-Shabab Al Mujahideen walifanya mashambulio yaliodumu karibu saa nzima dhidi ya kituo cha wanamgambo wa FG katika eneo la Sinka Deer.



Wakaazi walisema kuwa walisikia milio ya silaha nzito pamoja na risasi za rashasha waliokuwa wakirushiana makundi waliopambana kwenye kituo cha Sinka Deer.


Upande mwingine Mujahidina wa Wilayatul Islamiah ya Jubba walifanya mashambulio makali dhidi ya vituo vya wanajeshi wavamizi wa msalaba kutoka Kenya kwenye eneo la Kuddaa

Post a Comment

 
Top