Kamati hiyo pia inawachunguza kocha msaidizi Suleiman Matola pamoja na Daktari wa timu kwa kuhusika katika hujuma hizo. Kamati hiyo imetoa mechi TATU kwa benchi zima la ufundi kuhakikisha timu inafanya vizuri kwa kupata kati ya pointi 7 hadi 9 vinginevyo italifanyia mabadiliko makubwa benchi hilo.
Katika msimu huu wa 2014/15, Simba imecheza mechi 5, imefunga magoli 5, imefungwa magoli 5, imetoka sare mechi 5 na ina point 5.
Post a Comment