Sauti Sol wakiwa na Rais Uhuru Kenyatta Ikulu ya Kenya
Kundi hilo lililoanzishwa 2005 liliwashinda Davido, Diamond Platnumz na wasanii wengine wa Afrika.
Kupitia akaunti yao ya Instagram walishare picha na kuandika, “Awesome birthday party!! Happy birthday Mr President @ukenyatta #TeamSautiSol #SautiSol4EMA #BestAfricanAct #BestWorldwideAct #MTVEMA.”
Sauti Sol waeonekana kuwa mabalozi wazuri wa muziki wa Kenya hasa katika tuzo mbalimbali za kimataifa, na kwa sasa wanawania kipengele cha ‘World Wide Act.
Source: Ghafla Kenya
Post a Comment