Hivi karibuni Ndauka aliachana na baba wa mwanae, Malick Bandawe aka Chiwaman. Japo Ndauka aliwahi kuiambia Bongo5 kuwa wa walikaa pamoja na kuchagua kuachana kutokana na kuwepo tofauti zisizosuluhusishika, Chiwaman ameiambia EATV kuwa hajui sababu ya kuachana kwao.
“Mimi sina sababu yoyote labda yeye anaweza akawaambia sababu,” alisema.
Post a Comment