KOCHA wa timu ta taifa ya England, Roy Hodgson ametangaza kikosi cha wachezaji 23 kwa ajili ya kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil.
Katika
kikosi hicho Ashley Cole aliyetangaza kustaafu jana baada ya kupewa
rasmi na kocha Hodgson kwamba hatoitwa kwa pamoja na Micheal Carrick,
Tom Cleverly, Jermaine Defoe wote wametemwa.
Post a Comment