0

KOCHA wa timu ta taifa ya England, Roy Hodgson ametangaza kikosi cha wachezaji 23 kwa ajili ya kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil. 

 Katika kikosi hicho Ashley Cole aliyetangaza kustaafu jana baada ya kupewa rasmi na kocha Hodgson kwamba hatoitwa kwa pamoja na Micheal Carrick, Tom Cleverly, Jermaine Defoe wote wametemwa.
THe boss: Roy Hodgson has named his 23 man squad for the World Cup in Brazil
Our men: The England squad in full for this summer's World Cup
Star man: Wayne Rooney is one of the key strikers in Roy Hodgson's 23-man squad Nyota: Wayne Rooney ni miongoni mwa wachezaji 23 walioitwa na Roy Hod

Post a Comment

 
Top