Kama tulivypata taarifa vikosi vya Mujahidina jana usiku walifanya
mashambulio makali katika mji wa Lafole khususan eneo linalojulikana
Shanta tiir ambako ni makao ya Wanamgambo wahalifu wa FG.
Mapigano
yalikuwa makali na yalidumu masaa kadhaa na Mujahidina walikuwa
wakilenga sehemu maalum waliopeleleza muda mrefu na sehemu hizo hupenda
kulala nyakati za usiku wanamgambo hao wahalifu wa FG.
Taarifa
za awali zinaarifu kuwa kuna hasara mbalimbali yaliowapata Maadui
kwenye mapambano hayo ingawa hakuna idadi kamili ya Wanamgambo
waliopoteza maisha katika makabiliano hayo.
Wakaazi
wa mji wa Lafole walipoulizwa kuhusu mashambulio ya jana usiku walisema
walisikia milio ya silaha nzito waliokuwa wakirushiana pande
zilizokabiliana,mapema leo asubuhi hali katika eneo la mapambano
yalikuwa shwari baada ya opresheni ya Mujahidina waliofanya katika eneo
la Shanta Tiir.
Post a Comment