0
Mlipuko mkubwa umetokea leo mbele ya lango kuu la Kituo cha UN mjini Garowe ambako ulilengwa Gari waliokuwemo Wafanyakazi wa kigeni wa UN.


Taarifa zaidi zinaeleza kuwa Mlipuko huo ulilengwa Gari aina ya Mini Bus inayomilikiwa na Umoja wa Mataifa ambako walikuwemo karibu wafanyakazi 20 wa umoja huo na inaarifiwa waliopoteza maisha wamefikia watu 10 wakiwemo wafanyakazi wa kizungu na waafrika kutoka Uganda na Kenya huko idadi ya waliojeruhiwa ikifikia watu 7.



Taarifa iliyotolewa na Mujahidina wa Al-Shabab ilithibitisha kuwa wao ndio waliotekeleza shambulio hilo na kuwalenga wafanyakazi wa UN huko wakithibitisha vifo vya watu 10 wengi wao wakiwa ni wafanyakazi wa kigeni na idadi nyingine ya Majeruhi.


Mpaka sasa Mujahidina hawajafafanua namna ulivyofanyika shambulio hilo,picha kadhaa iliyochukuliwa Gari iliyolengwa zilionyesha uharibifu upande wa juu wa Gari hilo.

Post a Comment

 
Top