Taarifa rasmi kutoka Mujahidina wa Taliban nchini Afghanistaan
imezungumzia A'amiliyah iliyotangazwa na Mujahidina ambayo imepewa jina
la opresheni ya A'amiliyah ya Uamuzi yatakayowalenga Wanajeshi wa kigeni
walioko katika mikoa mbalimbali nchini humo.
Katika
taarifa yao Mujahidina wamesema,"Opresheni hii zitalenga maeneo ya
vituo vya kijeshi majengo ya Mabalozi na mahali popote waliko raia wa
Mataifa ya Magharibi tutawalenga na hatutowaacha kama wanataka usalama
basi waondoke haraka katika Ardhi ya Afghanistaan", ilisema sehemu ya
taarifa ya Mujahidina.
Opresheni
hii itaanza na kuendelea katika msimu wote wa michepuko,wakati kama huu
Mujahidina kila mwaka hutangaza opresheni zao kabambe iliyo dhidi ya
Maadui waliovamia katika Ardhi ya Afghanistaan na kupata wakati mgumu.
Post a Comment