Waziri wa masuala ya ndani nchini
Afrika kusini ametoa wito kwa viongozi wa kitamaduni kukoma kutoa
matamshi yasiyo na msingi ambayo yanaweza kusababisha maafa.
Waziri
Malusi Gigaba amesema hayo baada ya mfalme wa Kizulu, Goodwill
Zwelithini kusema kuwa wahamiaji wanapaswa kufunga virago vyao na
kuondoka nchini humo.Raia wa kigeni hushambuliwa mara kwa mara nchini Afrika Kusini.
Post a Comment