0
Habari kutoka mji wa Mandera iliyo sehemu ya Ardhi ya waislaam wa Somalia ambao Utawala wa Kenya unaikalia kwa mabavu zinaarifu kuwa milipuko mikubwa yameitikisa eneo la mkusanyiko wa Maaskari Polisi jana kwenye mji huo.



Wakaazi wa mji wa Mandera wanasema walisikia vishindo vikubwa vya milipuko yaliofuatana kwa mfululizo ambao ulilengwa ofisi ya Kastam ya mji wa Mandera na muda mfupi baadae ulifuatiwa milio ya risasi iliyofyatuliwa na Polisi. 




Duru za kuaminika zinaeleza kuwa Gari waliokuwa nalo Polisi ulilengwa mlipuko na baadae maofisa wengine wa Polisi waliokuja kutoa msaada nao walilipuliwa kwenye eneo la Kastam wa mji wa Mandera.



Magari mawili ya Polisi yaliteketea kwa moto huko maangamizi ya Maaskari Polisi ikiwa ni 5 kama walivyonukuliwa taarifa kutoka ndani ya Polisi wa Kenya.



Katika siku za hivi karibuni mji wa Mandera ulishuhudia mfululizo wa mashambulio kadhaa yaliosababisha hasara kubwa ambao Harakat Al-Shabab Al Mujahideen ulibeba dhamana yake

Post a Comment

 
Top