0

Habari kutoka nchini Chad zinaeleza kuwa vikosi vya Mujahidina wa Boko Haraam wamefanya shambulio la kupangwa mmoja ya miji yalio karibu na mpaka wa kizushi kati ya Nigeria na Chad.



Maofisa wa utawala kibaraka wa Djameena amethibitisha kuwa vikosi vya Mujahidina wa Ahlu Suna walivuka kwa kutumia Boti na kutekeleza shambulio kwenye Kambi ya Kijeshi iliyopo Wilaya ya Nagooba.



Shambulio hili linakuwa wa kwanza kutekelezwa na Mujahidina ndani ya Ardhi ya Chad ambao ni sehemu ya ushirika wa Muungano uliotangaza vita dhidi ya waislaam wa Nigeria.


Wiki iliyopita Kiongozi wa Mujahidina wa Ahlu Sunna Lida'awat wal Jihad Sheikh Abuu Bakar Shekow ujumbe na kuzionya mataifa ya Afrika Magharibi waliovamia kaskazini mwa Nigeria unaotawaliwa na Mujahidina na kutwabiqishwa Sheria za Allah kwenye miji hizo.

Post a Comment

 
Top