Tweet hiyo ilisomeka, “I’m a gold digger and cheater. I never really loved Tyga It was always about the money”, ikafuatiwa na tweet nyingine, “After he took me out the strip club gave me a beautiful family. Help me one multiple business”.
Baada ya tweet hizo, baadae Blac Chyna alitumia akaunti yake ya Instagram kutoa taarifa kuwa akaunti yake imekuwa ‘hacked’ na Tyga. Muda mfupi baadae tweet hizo ziliondolewa.
Blac Chyna alirejea kupost twitter kuwa tayari ameirejesha akaunti yake, na kutweet kuwa asingeweza kutweet vitu kama vile. Aliongeza kuwa kwa sasa anataka kushirikiana nae (Tyga) kwenye malezi ya mwanao peke yake.
Post a Comment