“Leo wadau naomba dua zenu nagombea serikali ya mtaa uku kwetu kirungule na nipo na mgombea mwenzangu ndio tunagombania hiki kiti apate yeye au nibebe Mimi inshaallah,” ameandika Fela kwenye Instagram.
Said Fela agombea uenyekiti wa serikali za mtaa
Mkurugenzi wa Yamoto Band na Wanaume Family, Said Fela anawania
uenyekiti wa serikali za katika mtaa wa Kirungure, wilayani Temeke
kupitia CCM.

“Leo wadau naomba dua zenu nagombea serikali ya mtaa uku kwetu kirungule na nipo na mgombea mwenzangu ndio tunagombania hiki kiti apate yeye au nibebe Mimi inshaallah,” ameandika Fela kwenye Instagram.
“Leo wadau naomba dua zenu nagombea serikali ya mtaa uku kwetu kirungule na nipo na mgombea mwenzangu ndio tunagombania hiki kiti apate yeye au nibebe Mimi inshaallah,” ameandika Fela kwenye Instagram.
Post a Comment