0
Mechi ya mashindano ya Champions League kati ya klabu ya PSG na FC Barcelona iliyopigwa kwenye dimba la Stade de France na PSG kushinda 3-2, ilihudhuriwa na mastaa kibao. Miongoni mwao ni pamoja na Jay Z na mke wake Beyonce, David Beckham na rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy. Wengine ni Cannavaro na Patrick Kluivert.
1412151697184_wps_3_Former_England_forward_Da
David Beckham akiwa na furaha
1412161202610_wps_19_OIC_XCLUSIVEPIX_COM_Celeb
Jay Z,Beyonce,Bakham
Aliyekuwa nahodha wa timu ya Italia iliyoshinda kombe la dunia Fabio Cannavaro (chini kushoto) na Meneja wa Ufaransa Didier Deschamps (chini kulia) pia walihudhuria
Bekham,Kanaro
Beckham and Cannavaro wakifurahia jambo
Bekham,Kluvert
Beckham akiongea na Kluvert
singer_Beyonce_her
David Beckham akimnong’oneza kitu Jay Z wakati Beyonce akiwa busy kuangalia mechi ya PSG waliowakaribisha Barcelona usiku wa Jumanne

Post a Comment

 
Top