David Beckham akiwa na furaha
Aliyekuwa nahodha wa timu ya Italia iliyoshinda kombe la dunia Fabio Cannavaro (chini kushoto) na Meneja wa Ufaransa Didier Deschamps (chini kulia) pia walihudhuria
Beckham and Cannavaro wakifurahia jambo
Beckham akiongea na Kluvert
David Beckham akimnong’oneza kitu Jay Z wakati Beyonce akiwa busy kuangalia mechi ya PSG waliowakaribisha Barcelona usiku wa Jumanne
Post a Comment