0
Wasanii wa muziki wakishirikiana na kampuni ya bia ya Serengeti leo wametoa msaada wa shilingi milioni tatu kwa hospitali ya Mkoa wa Mara kwaajili ya kununulia madawa na vifaa vingine vitakavyosaidia matibabu ya majeruhi wa ajali ya mabasi iliyotokea Ijumaa iliyopita na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 35.
Shilole akimsalimia mgonjwa
Shilole akimsalimia mgonjwa

Akizungumza katika hospitali hiyo, rapper Stamina ambaye aliwawakilisha wasanii, alisema wametoa kidogo walichonacho ili kusaidia huduma katika hospitali hiyo. “Japo sio kikubwa lakini tunadhani kitaisadia kwa mamna moja,” alisema Stamina.
Kwa upande wa mwakilishi wa bia ya Serengeti, alisema wameamua kuungana na wasanii kwa pamoja ili kutoa msaada wao kwa hospitali hiyo.
Lugha kali wa Clouds Tv, Mbiga pamoja na Chege
Mgonjwa akiwa hodini (2)
Mgonjwa akiwa Hodini
Mtoto ambae ni majeruhi wa ajali ya basi akizungumza na waandishi wa habari
Baadhi ya majeruhi wa ajali hiyo akizungumza na waandishi wa habari

Recho akimtakia hali mgonjwa
Recho akimtakia hali mgonjwa

Roma akibadilishana mawazo na Nay wa Mitego wakati ya kuingia hospitali ya mkoa wa Mara
Roma akibadilishana mawazo na Nay wa Mitego wakati ya kuingia hospitalii ya mkoa wa Mara
Shilole na Edo Booy wakiwa wamebeba baadhi ya vitu
Shilole na Edo Boy wakiwa wamebeba baadhi ya vitu

Wahusika wa hospitali wakipokea baadi ya vitu
Wahusika wa hospitali wakipokea misaada

Young Killer akiwa anamkabidhi baadhi ya vitu
Young Killer akikabidhi baadhi ya vitu
IMG_4932
IMG_4933
IMG_4935
IMG_4936
IMG_4942
IMG_4943
IMG_4944
IMG_4945
IMG_4959
IMG_4980
IMG_4991
IMG_4992
IMG_4993

Post a Comment

 
Top