Kiongozi wa Boko Haram Sheikh Abubakar Shekau
Serikali ya Cameroon imewapeleka jela wanachama 14 wa kundi la Boko Haram na kuwapa kifungo cha kati ya miaka 10 hadi 20.
Idadi kubwa ya washukiwa wa kundi la Boko Haram imekamatwa kazkazini mwa Cameroon katika majuma ya hivi karibuni kufuatia mashambulizi katika vituo vya polisi na mauaji.
Siku ya jumatano ,Nigeria,Niger,Chad na Cameroon zilikubaliana kubuni jeshi la umoja ili kukabiliana na tishio kubwa linalosababishwa na Boko Haram.
Post a Comment