KUNA taarifa kwamba makundi ya Watalii yameanza kubadili safari zao
na kuja Tanzania kufuatia tishio la kiusalama nchini Kenya, na sasa
wafanyabiashara wan chi hiyo wameingia katika mikakati ya kuzuia kwa
kueneza propaganda la kuwapo tishio kwa nchi zote za Afrika Mashariki
ikiwamo Tanzania na Watanzania wameingia katika mtego huo kwa kueneza
taarifa kwamba Tanzania iko katika hatari ya kuingiliwa na Al Shabaab.
Pamoja na sisi kuwa katika tishio na vyombo vya usalama kuendelea makini na kuimarisha ulinzi, bado tishio kubwa liko Kenya zaidi kuliko Tanzania.
Tusikubali kutumika kuzuia watalii kuja Tanzania

Post a Comment