0


600_1375813210_8913fb57f4606b4cf1343aa6f0359bb2
Rapa wa Marekani Ja Rule, amejichimbia kwenye studio akirekodi nyimbo mbili tofauti ambazo amejipanga kuziachia kabla ya mwisho wa mwaka.
Rapa huyo ambaye yupo bize na muziki wakati wote hadi kushindwa kuzungumza na watu pamoja na vyombo vya habari akidai kwamba muda wa kufanya hivyo utakapowadia atafanya hivyo.
Pamoja na hayo habari zinadai kuwa tayari amesharekodi singo yake ya pili kwa kipindi cha muda mfupi tangu alipoachiwa kutoka jela.

Post a Comment

 
Top