Waasi walitoroka huko kufuatia makabiliano makali yaliyodumu wiki nzima
kati yao na vikosi vya serikali na majeshi ya Umoja wa Mataifa.
Amina Abubakar amezungumza na Gavana wa Kivu Kaskazini Julien Paluku na kwanza alimuuliza juu ya hali ilivyo kwa wakati huu.Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Amina Abubakar
Amina Abubakar amezungumza na Gavana wa Kivu Kaskazini Julien Paluku na kwanza alimuuliza juu ya hali ilivyo kwa wakati huu.Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Amina Abubakar
Post a Comment