0


Tetemeko kubwa la ardhi limekumba eneo lililo magharibi mwa Nepal.
Shirika la utafiti la Marekani liliseme kuwa tetemeko hilo la vipimo vya 7.9 lilikumba eneo lililo umbali wa kilomita nane mashariki mwa Pokhara magharibi mwa mji mkuu wa Kathmandu.
Kuna ripoti za uharibifu wa majengo. Idadi ya watu waliokufa au kujeruhiwa haijulikani.
Tetemeko la ardhi mjni Nepal lenye vipimo vya richa 9.7
Picha za majengo yaliyokuwa yameporomoka pamoja na mahekalu ya miaka mingi iliyopita zimeonekana kwenye mitandao ya kijamii.
Mawasiliano ya simu nayo yameharibiwa.
Walioshuhudia walisema kuwa watu walikimbia nje ya majengo muda mfupi baada ya tetemeko hilo kutokea.


 

Picha za majengo yaliyokuwa yameporomoka pamoja na mahekalu ya miaka mingi iliyopita zimeonekana kwenye mitandao ya kijamii.
Mawasiliano ya simu nayo yameharibiwa.
Walioshuhudia walisema kuwa watu walikimbia nje ya majengo muda mfupi baada ya tetemeko hilo kutokea.

 Picha za majengo yaliyokuwa yameporomoka pamoja na mahekalu ya miaka mingi iliyopita zimeonekana kwenye mitandao ya kijamii.
Mawasiliano ya simu nayo yameharibiwa.
Walioshuhudia walisema kuwa watu walikimbia nje ya majengo muda mfupi baada ya tetemeko hilo kutokea.


 

Mitetemeko mingine midogo imesikika kaskazini mwa India pamoja na nchini Pakistan.

Post a Comment

 
Top