0
Wakati hali ya usalama ukiendelea kuyumba nchini Kenya Serikali ya nchi hiyo imetangaza mabadiliko upande wa usalama ili kuepuka na mashambulio yatakayofanywa na Harakat Al-Shabab Al Mujahideen dhidi ya miji mikubwa nchini humo.



Kamishna mkuu wa Polisi nchini Kenya Joseph Bainet amesema kuwa kiongozi mpya upande wa usalama tayari ameshateuliwa ili kuchukua kuudhibiti usalama katika mji wa Garissa ambapo mwanzoni mwa mwaka huu kulifanyika mashambulio makubwa yalio mwaga damu nyingi.




Kamanda mpa wa Polisi aliyeteuliwa ni Shadrack Maithya Mkristo kupande upande wa mji wa Nairobi,vyombo vya habari nchini Kenya zimeripoti kuwa mkuu wa Polisi aliye ondolewa nafasi hiyo ameteuliwa kuwa mkuu wa Usalama katika mji wa Nakuru.



Shadrack Maithya ametajwa na vyombo vya habari kuwa ni mtu asiyetarajiwa kufanya mukubwa katika sekta hiyo nyeti aliyekabidhiwa kwasababu alishwahi kufanyakazi na Tawala mbalimbali zilizopita na itakumbukuwa kuwa Maithya ni miongoni mwa viongozi waliotuhumiwa Rushwa iliyoiangamizi Serikali ya Kenya.



Kuteuliwa kwa Mkuu huyo wa Polisi katika mji wa Garissa unakuja wakati ambapo Serikali ya Kenya imewafukuza kazi Maofisa 10 waliokuwa wakifanyakazi katika Mikoa ya Kaskazini Mashariki na Tanariva.

Post a Comment

 
Top