Habari kutoka mikoa ya Jubba zinaeleza kuwa jioni ya leo kumefanyika
shambulio la kuvizia katikati mwa maeneo ya Tabto na mji wa Dobley
ambapo Msafara wa Magari ya kijeshi wa Kenya yalikuwa yakitumia njia
hiyo.
Msafara
huo wa Wanajeshi wavamizi wa Msalaba kutoka Kenya ghafla ulizingirwa na
risasi za Mujahidina huko shambulio hilo Mujahidina wakitumia Silaha
nzito za RPG.
Maofisa
wa Mujahidina walioko Mkoa wa Jubba wametueleza kuwa mapambano hayo
Mujahidina walifanikiwa kuziteketeza Gari aina ya Mitsubishi iliyokuwa
imebeba Shehena kwa Wanajeshi wa Kenya,habari zaidi zinaeleza kuwa
wanajeshi walioshambuliwa wamekutana na hasara kubwa.
Wanajeshi
wa Kenya waliokuwa kwenye safari ya kuelekea mji wa Dobley ulikatisha
safari yake huko wakichukua Maaskari waliopata hasara na Gari
iliyochomwa na Mujahidina.
Post a Comment