Shekhe
ambae aliulizwa maswali mbalimbali amesema lengo la kuishambulia UN ni
kwamba inaongoza na kuifadhili uvamizi uliofanywa katika Ardhi ya
Somalia na pia inaendelea na Madhila kwa wananchi wa Somalia walioko
katika Mikoa kadhaa nchini Somalia.
Sh.Ali Mahamuud Rage: UN haitokaa kwa salama katika Ardhi ya Somalia.
Msemaji mkuu wa Harakat Al-Shabab Al Mujahideen Sheikh Mahamuud Ali
Rage Al Maarufu (Sheikh Ali Dere) usiku huu amezungumza na Idhaa ya
Kiislaam ya Radio Al Furqaan na kufafanua shambulio iliyowalenga
wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa katika mji wa Garowe leo.
Aidha
amewaonya wafanyakazi wa UN kuendelea kukaa katika Ardhi ya Somalia
huko wakiendelea kuwasumbua wananchi wa Kiislaam,"hakuna sehemu
itakayopata Salama UN,na wakiendelea kukaa Ardhi ya Somalia basi
tunawaambia muwe tayari kuzionja Panga zetu",alisema Sheikh Ali Dere
Post a Comment