Wapiganaji wa kundi la Islamic State
wameweka kanda ya video katika mtandao ambayo inamuonyesha mvulana
mdogo akimpiga risasi na kumuua mfungwa mmoja mwenye asili ya kiyahudi
na kiarabu.
Mtu huyo anayejulikana kama Mohammed said Ismail
Musallam anatuhumiwa na kundi la IS kwa kulifanyia kazi kundi la
upelelezi la Israel Mossad.Kijana huyo mwenye miaka 19 aliondoka nyumbani kwao mashariki mwa Jerusalem kwenda Uturuki mwaka uliopita ili kujiunga na kundi la IS nchini Syria.
Maafisa wa Israel na familia ya Mussallam zimekana kwamba alikuwa mpelelezi wa Israel.
Kanda hiyo ya Video haijathibitishwa na maafisa wa Israel wanasema kuwa hawawezi kuthibitisha chimbuko lake.
Familia ya Mussallam imesema kuwa alielekea nchin
Post a Comment