Kwa mujibu wa TMZ, mashabiki hao ambao walikuwa hawahisiki kabisa na video hiyo walikusanyika baada ya kugundua kuwa Tyga anashoot video eneo hilo.
Inadaiwa polisi walilazimika kusimamisha zoezi za video kwa sababu za kiusalama, lakini hakuna mtu yeyote aliyewekwa chini ya ulinzi.
Jumatatu Tyga pia alikamatwa na polisi kwa kosa la kuendesha gari kwa vurugu wakati akiendelea kushoot video hiyo
Post a Comment