Breezy na Songz wanatarajia kuanza tour yao waliyoipa jina la ‘Between The Sheets’ January 28, 2015.
Katika show yao ya kwanza itakayofanyika Hampton,mgeni maalum anatarajiwa kuwa Tyga.
Maeneo mengine ambako Breezy na Songz wataenda ni Brooklyn, Atlanta, Detroit, Toronto , Washington na kumalizikia Los Angeles March 8.
Post a Comment