0
Msanii Waje kutoka Nigeria, Victoria Kimani toka pande za Nairobi, Kenya na maneja wa T.I., Jason Geter, wamewasili jana kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa Julius Nyerere tayari kabisa kwaajili ya Serengeti Fiesta 2014 jijini Dar Jumamosi hii.
hh
Victoria Kimani akiwa na mtangazaji wa Clouds TV, Lady Haha

Wasanii wengine wanaotarajiwa kutua usiku wa leo ni Davido na Patoraking. T.I. ataingia Dar Ijumaa usiku.

Post a Comment

 
Top