0
Kampuni ya Samsung ya Korea Kusini imetengeneza teknolojia ya 60 GHz ya WiFi ambayo itaweza kutuma data mara tano zaidi ya vifaa vingine.
2000px-Wi-Fi_Logo.svg
Kifaa hicho kitakuruhusu kutuma data zenye ukubwa wa megabytes (MB) 575 kwa sekunde 1 – ambapo ni sawa na kudownload filamu ya GB 1 kwa sekunde 3 tu.
Hiyo inamaanisha kuwa video zenye ukubwa na za high-definition zinaweza kuangaliwa kutoka kwenye simu kwenda kwenye TV katika muda huo huo real-time.
Teknolojia ya Wi-Fi iliyopo sasa ni ya 2.4 GHz na 5 GHz.

Post a Comment

 
Top