GHAFLA ya Kenya imeripoti kuwa, Nice ambaye yuko chini ya label ya Candy n Candy Records ya Kenya ambayo ilimsaini baada ya mkataba wake na Grand Pa kuvunjwa, anashoot video za nyimbo zake mbili ‘Akina Mama’ pamoja na ‘Ulisemaje’ nchini Afrika Kusini.
Mtandao huo umeongeza kuwa bajeti ya video hizo ni shilingi milioni 5 za Kenya, ambayo ni sawa na shilingi milioni 95 za Tanzania.
Post a Comment