0
Wastara akiwa na JB katika filamu mpya ya Mzee wa Swaga 
Jacob Stephan na Wastara Juma wameingia mzigoni kushoot filamu mpya iitwayo ‘Mzee wa Swaga’ ambapo ndani ya filamu hiyo Wastara ni mpenzi wa JB.

Wastara akiwa na JB katika filamu mpya ya Mzee wa Swaga

Wastara ameiambia Bongo5 kuwa filamu hiyo iliyo chini ya kampuni ya Jerusalem film itahusisha mastaa mbalimbali katika tasnia hiyo. “Tupo location tunashoot filamu mpya ya kampuni ya Jerusalem film, wasani wengi wameigiza lakini mimi nimeigiza kama mpenzi wa JB ndiyo maana umena picha tukiwa mazingira fulani,” alisema Wastara. Hizi ni baadhi ya picha.
923781_1467807646815676_1671437576_n
927447_1471076533157117_245042088_n
1963051_1491681997740435_1038077892_n
10607901_280788625445923_422066586_n

Post a Comment

 
Top