Mwimbaji huyo wa ‘Tubonge’ amepost video Instagram akiwa na mke wake Daniella huku akizungumza maneno haya:
“Yoh, Professional Journalism, jifunzeni kuwa professional, huyu ni mke wangu, mali yangu ni mali yangu, mali yangu ni mali yangu, mwa mwa mwa mwa (akambusu) haters nendeni mkajinyonge, mxiuuuuu” (akasonya).
javascript:;
Post a Comment