Kupitia Instagram rapper huyo amezungumza na msahabiki wake kwa kuwauliza maswali ya kwanini hajaanza kuitwa kwenda kutumbuiza nje ya nchi.
Hiki ndicho alichokiandika juu ya picha aliyopiga akiwa uwanja wa ndege.
“Hivi #mashabiki zangu niwaulizeni #kitu!!! Hivi ni kweli kuwa wale #wabongo wanaoishi #nchiZaNje Kama #Germany#U.K#USA#S.A#SWEEDEN#NORWAY# na kwingineko Hivi nikiwaimbia #KKK#MAUMIVU#2030#KIDOLECHAMWISHOJUU#MATHEMATICS hivi hawataruka na kuenjoy Show!!??? Sasa mbona simu haziiti???
Unajua inachosha kila siku kupost
#OFF_TO_MWANZA#HEADIN_MBEYA#Oiii on ma way to#Arusha
Mnafikiria hatupendi na sisi kuandika
#LONDON_GET_READY_TONIGHT
#BERLIN_HERE_ICOME
#NIGERIA_SEE_U_SOON
sijui kuna #kizuizi gani hapa katikati!!
Nway inshallah bana…….”
Post a Comment