Home
»
KITAIFA
» Madawa ya Kulevya: Muigizaji Aisha Bui (mke mwenza na Amina chifupa) nae akamatwa Brazil
Baada
ya bondia na footballer sasa musichana ya movie (maana kila asiyekuwa
na address mjini sasa anataka awe muigizaji ili atoke khaa ) na toto ya
town imekwisha Brazil eeh wasichana nyie wadogo mna mambo makuu jamani
hizi lace wig, peruvian, simu za bei ya juu, vitz mbona zitawapeleka
pabayaa??
Ndugu kama hamjawasiliana na ndugu yenu huyu
kaeni mkao wa kula kupokea bad news (sioni huruma maana kapenda mwenyewe
kuwa punda) hivi kila siku hamuoni TV/News Paper na Blogs zikiandika
kwamba hali ya hewa ni mbaya ?? mara meli, mara wengine wamekamatwa
Ethiopia daah mnawapa wengine ugumu wanaosafiri na Passport za ki
Tanzania full kuangaliwa mpaka sehemu zisitakiwa.
NB
wale wasichana wanaoshawishiwa kuwa mapunda na
makontena na wengine wanathubutu kwenda kwa waganga kupewa dawa ili
wasishikwe USIJARIBU hakuna cha mganga wala nini, tulizana na tafuta
plan B ya maisha na nini cha kufanya please i beg nisiposisitiza hivi
tutapoteza wengi.
SOURCE: sintah.com
Post a Comment