Wakati ambapo hali ya usalama ukiendelea kuyumba mauaji inayowalenga maofisa wa Jeshi la Polisi unaendelea kushika kasi katika miji mikubwa nchini Tanzania.
Habari kutoka mjini Dar Es Salaam
zinaeleza kuwa usiku wa kuamkia leo watu waliokuwa na silaha wamefanya
shambulio kwenye Kizuizi cha Maaskari Polisi katika eneo la Kongowe
waliokuwa eneo hilo.
Habari zaidi zinaeleza kuwa
washambuliaji hao waliwaua Maaskari wote waliokuwa kwenye Beria hiyo ya
Kongowe na hatimae kuchukua silaha zao walizokuwanazo.
Katika siku za hivi karibuni
kumekuwa na mfululizo wa mashambulio yanayowalenga Maofisa wa Jeshi la
Polisi nchini Tanzania,Kiongozi wa nchi hiyo Kibaraka Jakaya Mrisho
Kikwete amelitaja mashambulio haya kuwa yana sura ya Ugaidi.
Serikali Kibaraka nchini Tanzania
inawashikilia Mamia ya waislaam kwa tuhuma za Ugaidi huko vijana kadhaa
wakiuawa na viongozi wao wakifanyiwa vitendo vilio kinyume na haki za
Binaadam pamoja na vitendo vya ulawiti wakiwa katika Magereza mbalimbali
nchini humo.
Post a Comment