Katika uwanja mkubwa wa wazi ulioko katika mji wa Jamame mkoani Lower
Jubba kusini mwa Ardhi ya Somalia ameuawa mwanaume aliyemtukana Mtume
Mohamed صلي الله عليه وسلم Mtukufu wa Daraja.
Mamia
ya wananchi wa Kiislaam walijitokeza katika Uwanja huo unaojulikana wa
Berta Sharecada "Bustani la Shari'ah" kwa lengo la kuja kushuhudia
Mahakama ya Kiislaam wa Mkoa wa Lower Jubba ukitekeleza Hukumu ya Ridda
kwa Mahamuud Mursal Mussa mwanaume aliyepatikana na kosa la kumtukana
Kiongozi wa Ummah Mohamed صلي الله عليه وسلم.
Si mara ya kwanza kwa Wilaya hiyo ya Lower Jubba kutekeleza Hukumu ya kiislaam.
Post a Comment