Makundi
ya wapiganaji wa upinzani pamoja Makundi ya wapiganaji wa Kiislaam
ikiwemo Jabhat Al Nusra yametangaza kuwa yalifanya uvamizi ya kuikomboa
mji muhimu wa Kistratiji ya Jasru Shuqur iliyo upande wa Kaskazini mwa
Syria na ni mji wa Pakee ambao umabakia kuishikilia Nidhamu ya Bashar Al
Asad katika mkoa wa Idlib.
Duru ziliarifu kuwa wapiganaji wa Kiislaam wameuteka Vizuizi vyote vya mji wa Jasru Shuqur upande wa Kaskazini.
Vikosi
vya Mujahidina wa Jabhat Al Nurah wamewavuka kwa nguvu jeshi la Asad
huko wakiwaua makumi ya Wanajeshi wa Nidhamu hiyo ya Kishia,Waandishi wa
habari wanasema wapiganaji wa Upinzani wanajaribu kuichukua Barabara
zinazounganisha kati ya Idlib na Mkoa wa Pwani wa Ladiqiyah ambayo ni
muhimu kwa nidhamu ya Kishia wa Asad.
TIZAMA VIDEO ILIYOANDALIWA NA AL-JAZEERA
Post a Comment